Mwanamziki Sexy lady Ma-jadee mkenya mwenye makazi yake Germany amethibitisha kuwa ataperform pamoja na wanamuziki kutoka kenya ambao ni Kanda King na Kanda Junior huko Mjini Frankfurt Germany mapema mwezi December ,
na kuwataka amshabiki wake wasikose katika kusherehekea kenya Independency day , si tu wakenya pia amewakaribisha watu wote waweze kusherehekea kwa apaoja na kusema siku hiyo atapiga show ya kufa mtu ……Alimaliza mrembo huyo ambaye kwa sasa anatamba na ynimbo yake ya NITASEMA ICHEKI HAPO CHINI.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
POSTED BY : Hamm Chande