G.A. M.C. awataka mashabiki wake wakae mkao wa kula

 

gmc

 

Kwajina la kisanii anaitwa G.M.C. na kwajina la kawaida anaitwa Geoffrey McLaughlin, kijana kutoka Tanzania ambaye tangu utoto wake alijikuta akiwa na kipaji cha kuimba. Msanii huyu ambaye anatoka Tanzani ambako ndo alizaliwa anakaa Denmarken na kufanya kazi zake huko. Geoffrey ametoka Tanzania akiwa na miaka midogo sana , mpaka sasa ameishahishi miaka mingi sana Denmarken .

1012568_10202797759558782_3088842322734911626_n
Kutokana kwamba msanii huyu amekaa mda mrefu sana Denmarken , lakini ajasahau kwao alikotoka huko Tanzania. Mama yake pia anaishi inchini Denmarken na huyu ndo anaye mpa pia support kubwa sana. Kipaji kama uko nacho uwezi kujificha kwasababu utakuta ukianza kufanya kitu kama hicho. Kuna wakati alifika msanii The black kutoka inchini Uhollanzi. Baada hapo msanii Geoffrey akaanza collaboration na The black. Mawasiliano haya yakazaa matunda na wakapiga mziki wa Remix kwa pamoja. Wimbo uhu wa The Black ” Jinsi niliyokupenda” .
Baada ya wimbo uhu msanii Geoffrey hakukaa kimya ilikuwa kama vile kwenda kuamshwa. Baada ya hapo aliingia studio na kutoa nyimbo zake mbili. Nyimbo hizi alienda kuzifanyia nyumbani Tazania akisema kwamba kule anajisikia kama yuko nyumbani na mambo ya kule ni mazuri sana. Mpaka sasa G.M.C. anaendelea na maandalizi mengine ambayo yako ndani kuandaa Video ya nyimbo zake ambazo anasema atazishuti huku Ulaya. Ila bado maandalizi yanaendelea kuhakikisha kwamba video hiyo inatoka moja kwa moja na inahadisiwa kuwa itakuwa video kali.
Wapenzi na mshabiki wa msanii huyu wanaaidiwa wakae chonjo ili wasubiri vitu vipya sana kutokana kwamba anawaandalia vitu vipya na wasikate tamaa. Msanii Geoffrey anaitaji support kutoka kwa mashabiki. Support anayoisema sio kwamba watu waanze kuwaza kuhusu pesa, lakini kusikiliza nyimbo zake, ku share kazi kwa ndugu na marafiki.

Mfuate msanii huyu kwenye facebook lake kwajina Geofrey McLaughlin.
NYIMBO ALIZOPIGA MSANII HUYU PAMOJA NA USHIRIKIANO NA THE BLACK.

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!

 

 

Actreses Devotha Alfred na AShley Toto kuyatoa yote ya moyoni leo usikuhuko Denmark

IMG_9422
Actress ASHLEY TOTO
10623801_696037170485401_1486821541818131700_o
Actress Devotha Alfred

kwa muda mwingi kumekuwa na maneno ya chini chini kuwa waigizaji   wa filamu Devotha ( Aliyetambulika kwenye PASSPORT LOVE FILM) na Ashley Toto( Aliyetambulika kwenye Moyo wangu FILM )haziivi , yani hawaongei, na stori hizi si tu chini ya kapeti bali zimesambaa nchi mbalimbali za ulaya , pasipo kujulikana chanzo ni wapi au ukweli uko wapi.

Lakini  Licha ya siku za awari waigizaji hao kupambanishwa kuwa nani mkali katika tasnia ya maigizo na interview waliyowai kufanyiwa wote kwa nyakati tofauti , bado kumebaki na urakini juu ya kuwepo kwa urafiki au uhadui kati ya waigizaji hao , na hasa kitendo cha mashabiki wa filamu kupenda zaidi kuona watu hawaelewani ,  ,ila siku za karibuni waigizaji hao wameonekana kuachia Tamthilia yao mpya ya SELLING MY SOUL chini ya kampuni ya DEVOTHA MEDIA , lakini japo wamefanya kazi hiyo mpya , hakuna picha hata moja ambayo wasanii hao wamepiga wakiwa pamoja , kuonyesha uhusiano wao

1973640_725472114175058_8077157770022477368_o
Actor and Musician Bee brown Wizzy

hayo na Mengine Mengi basi jiunge leo saa tano kamili usiku 23:00 USIKU KWENYE LINK HII HAPA http://swahilitalkradio.listen2myradio.com/ YA SWAHILI  TALK RADIO. ushuudie wasanii hao watakapowekwa kiti moto na Mtangazaji wako Rehema Nkalami katika kipindi cha Hakuna Kulala pia na kutoa yao yotee ya moyoni katika redio hiyo ya nchini denmark

Basi kwa  kutaka kujua haya na mengi kuhusiana na hiyo Tamthiklia na mengi kuhusiana na waigizaji hao pia kama una maswali hujachelewa  sikiliza link hapa chini pia tembelea facebook page ya waigizaji hao Devotha Media au yaSwahili Talk Radio  KUULIZA MASWALI YAKO PIA UNAWEZA KUPIGA SIMU  KIPINDI KIKIANZA NA KUULIZA SWALI LOLOTE http://swahilitalkradio.listen2myradio.com/

Hizi ndi o picha za Behind the scene  NA TRELA YATmathilia hiyo ya SELLING MY SOUL

IMG_1569  IMG_9162 1891031_293657220841962_3002681753563708484_n

IMG_9153 IMG_9155

Hii ndio trela ya tamthilia yao mpya ya SELLING MY SOUL

https://www.youtube.com/watch?v=LoBEoYLTxuo#t=172

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!