Kama anavyojulikana na wengi kAPUSO Queen Marian Rivera star wa filamu na Tamthilia mbalimbalia kama , DARNA , AMAYA, Djesebel na nyingine nyingi ndoa yake aliyofunga na muigizaji mwenzake mkubwa wa ufilipino Dingdong Dantes mwezi wa kumi na mbili ndoa hiyo iliyokuwa na keki iliyovunja rekodi kwa ukubwa duniani, ameamua kukatisha mkataba wake wa tamthilia mpoya aliyokuwa ameanza kuicheza ya RICHMANS DAUGHTER Baada ya kutangaza kugundua kuwa ni mjamzito mapema wiki hii na taarifa hizo kupokelewa kwa maskitito na mashabiki wake .
Marian Rivera has withdrawn from her upcoming GMA-7 primetime Drama “The Rich Man’s Daughter” after announcing her pregnancy earlier this week.
GMA Network confirmed the development in a statement on Friday, adding that the Kapuso Primetime Queen will also not be joining her scheduled GMA Pinoy TV guestings abroad “due to her delicate condition.”
“GMA Network fully supports Marian’s decision and strongly believes that Marian and her baby’s safety is first and foremost,” said the network.
Marian had previously expressed excitement over her new show because of it’s theme, which features her as a woman in love with another woman.
GMA-7, meanwhile, assured fans that Marian will continue to appear in various shows on the network.
“We pray for a healthy and happy pregnancy for our dear Marian,” it said. — JST, GMA News
KUWEZA KUTAZAMA TAMTHILIA HIZI MATATA ZA KIFILIPINO NA NYINGI ZAIDI ONLINE TEMBELEA
Website: VIKI.COM
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT : http://www.marianriveradantes.com/
The Official Facebook Fan Page of Marian Rivera Gracia-Dantes.
Tupe maoni yako hapo Chini..!!