BREAKING NEWS: BABU SEYA ACHIWA HURU NA RAIS MAGUFULI

Yametimia katika sherehe za Uhuru 2017. Katiba ya JMT Ibara ya 45 yatumika.
Karibuni kwa maoni

Rais John Magufuli akiwa kwenye kilele cha miaka 56 ya Uhuru amesemehe wafungwa 63 waliohukumiwa kwa vifungo mbalimbali na kunyongwa.

Miongoni mwa waliosamehewa ni wanamuziki Nguza Viking Alias maarufu Kama Babu Seya na Johnson Nguza(Papii Kocha) ambao walihukumiwa kifungo Cha maisha gerezeni kwa kosa la kubaka na kulawiti watoto 10 mwaka 2003 na kuhukumiwa Juni 25, 2004.

Pia Rais Magufuli amemsamehe mzee Matonya mwenye miaka 85 ambae alihukumiwa kunyongwa na ameshakaa miaka 37 baada ya hukumu na miaka Saba mahabusu.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Mkali wa BONGOFREVA ULAYA Zblack Braah AJA NA MONIKA

baada ya msanii Zblack Braah kuachia ngoma ilio enda kwajina Fanya kama unainama alio mshirikisha t max Sasa yupo jijini London kwajili ya shooting ya wimbo wake mpya ulio kwenda kwajina la monica!

ZBLACK AMEWAANDIKIA HIVI MASHABIKI WAKE

Hello #East Africa Trailer ya Nyimbo yangu mpya Nilio ipa jina la #Monica# Tiari ipo online, Official Nyimbo nzima ita kuwa hewani Tarehe 1/01/2018 Hivyo basi, muikaee mkao wa kula. Maana Tarehe 1 ndio itakua siku rasmi ya ku iachia ngoma yangu. Na ningeli penda ndugu, jamaa na marafiki muwe tayari kwa kuipokea kazi yangu. Maana nita iweka katika platforms zote kama YouTube SUBSCRIBE KWENYE CHANELI YANGU YOUTUBE KWA JINA LA zblackBraahofficial AU BONYEZA LINK HAPO CHINI , Pia waweza nitafuta Instagram, Facebook, Twitter, na sehem zingine tofauti na msisahau ku subscribe YouTube channel yangu ili uwe wa kwanza kuisikia kazi yangu mpyaa

Kama wa semavyo uhondo wa ngoma ingia kati uicheze na uzinduzi wa #Monica ni maajabu ya ZBLACK #BRAAH
Produced#Sweseka production#Directed#Mdm Youvip

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

https://www.youtube.com/watch?v=rP2QM_PUKqY