Siku chache zilizopita mwanamziki wa Tanzania ambaye amerudi kwenye muziki baada ya kupotea kwa muda mrefu kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya yaliyomfanya si kupoktea kwenye mziki bali kumuaribu afya yake na hata kumpelekea kuuza mali zake zote alizowai kumiliki pamoja na nyumba aliyokuwa akimiliki .
Licha ya raisi ya Tanzania kumsaidia lakini ilimchukua muda mwanamziki huyo kupona katika uteja huo wqa madawa ya kulevya , nna kurudi kwa pupa kwenye mziki mbako bado hajahit kama ilivyokuwa enzi zake
ndipo alipoibukia kwenye sakata la kumuiba mume wa mtu
kujua kisa zaidi cha mkasa huu bonnyeza link hapo chini kusikiliza na kuangalia picha za ray c na mzungu huyo anayejigamba kwney intsgrma kuwa ni mpenzi wake na kuangalia pia picha za mzungu huyo na mkewe usisahu kutoa maoni yako na kusubscribe chaneli yetu youtube
https://www.youtube.com/watch?v=GBtRtFvQqVs
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
https://www.youtube.com/watch?v=hyvfp4VYpqk
https://www.youtube.com/watch?v=ccpryLfRIVE
https://www.youtube.com/watch?v=2mbagkYVmcA
https://www.youtube.com/watch?v=poViV-lTyfY