WEMA SEPETU ANENA MAZITO “NIKIFA NIAGWE UWANJA WA TAIFA”…

Kazi ipo! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ambaye huwa haishiwi habari, ameibuka na jipya akidai kuwa akifa leo au kesho basi aagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar, Ijumaa Wikienda limemtegea sikio.

wemac2Wema sepetu

Miss Tanzania huyo wa 2006/07 ambaye anakimbiza kwenye sinema za Kibongo alifunguka hayo wikiendi iliyopita wakati akiwa safarini kuelekea jijini Arusha ambapo msanii anayemilikiwa na kampuni ya Wema ya Endless Fame Production aliyetajwa kwa jina moja la Mirrow alikwenda kuangusha shoo pande hizo.
Wema aliyasema hayo alipokuwa akichangia mada ya utabiri wa mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa, marehemu Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein aliyetabiri kwamba wasanii wengi wenye majina makubwa watakufa mwaka 2014.
Mwanadada huyo alisema mastaa wengi wameaga dunia na kuagwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni lakini yeye itakuwa Uwanja wa Taifa.
Alitolea mifano ya waliokuwa mastaa kama Steven Kanumba, Albert Mangweha ‘Ngwea’, Julius Nyaisangah ‘Anko J’ na wengine kuwa waliagwa Leaders lakini kwa namna ambavyo jina lake ni kubwa ndani na nje ya Bongo viwanja hivyo havitatosha.

WEMA2

“Mimi nakwambia kabisa, pale Leaders hapatatosha. Kama nikifa leo au kesho, niagwe Uwanja wa Taifa ili kila mtu apate nafasi. Naamini watu watakuwa wengi sana so Leaders hapatatosha,” alisema staa huyo mkubwa anayeminya kilamalavidavi na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Ijumaa Wikienda lilipododosa kwa marafiki zake wa karibu lilitonywa kwamba tayari jambo hilo alishawaeleza na kwamba aliomba iwe hivyo.
Mbali na wasanii, Maalim Hassan alitabiri pia kuwa mwaka huu kuna mwanasiasa mkubwa atakufa na utakuwa msiba wa kitaifa, vifo vya wanahabari na malumbano makubwa juu ya serikali tatu.
Wiki iliyopita ilijaa simanzi baada ya kufariki dunia kwa watu maarufu kama mchekeshaji wa Futuhi ya Star TV, Omary Majuto ‘Mzee Dude’, mpiga ngoma wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Soud Mohamed ‘MCD’, mwigizaji wa Bongo Movies, Victor Peter na mtangazaji wa East Africa Radio, Kenneth Kidago Lyanga.
CREDIT; GPL

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies

MASHABIKI WA ACTRESS DEVOTHA NA ASHLEY TOTO WATOLEANA UVIVU SOMA HAPA KILICHOTOKEA

Mashabiki wa waigizaji Ashley Toto na Devotha wataka kutoana macho kwa  maneno makali…. hali hio ilitokea baada ya wasanii hao kupambanishwa katika facebook page ya Swahili european movies  inayodeal na filamu za kiswahili ulaya

1090941_495906000498520_352859325_oActress Devotha Alfred  akiwa kwenye pose

1452566_10202286076580892_1031232508_nActress Ashley toto  in pose

Ashley Toto na Devotha Alfred ni waigizaji wa V.A.D film production iliyopo Denmark wanaokuja juu kwenye tasnia hiyo ya filamu hapa Ulaya . Huku Ashley aking’ara kwa movie ya Moyo wangu :http://www.youtube.com/watch?v=naOdJTZs1gs
Nae Devotha Alfred akiing’araa ndani ya filamu ya Passport love zote hizi wamefanya chini ya director mmoja Ally Dex Lulenda
1530375_341884435952835_1718368750_n(1)Devotha Alfred na Ashley TotoKuna minongono kutoka kwa watu wao wa karibu kabisa kua wanapaniana kufunikana katika filamu zinazokuja .Ashley ni mkenya anayeishi ujerumani ,mjasiriamali anajiusisha na mambo ya upromota huku akiwika zaidi hapa Ulaya hadi Tanzania na Kenya akipamba kurasa na magazeti

Devotha nae ni muigizaji anaekuja kwa kasi ya volkano hapa Ulaya kutokea Tanzania aneishi pia ujerumani kwa ajiri ya masomo … Huku ikionekana dhahiri kabisa umaarufu wa Ashley Toto uko hatarini kutokana na Devotha  Alfred kupata kolabo katika kazi nyingi zaidi kwasasa
1102551_807479802600775_88475492_o Ally   Dex lulenda Director wa  Moyo wangu na Passport Love films
Hizi ndio coment za mashabiki wao
  • Chani Chaniali Ashley nd
  • Chris Ray Mwakasale Kama sija elewa vizuri Je ni waigizaji wa VAD au nyingine la swahili movie ?
  • Ismail Mohmmed TT kiboko
  • Jayy Booy   Ashley Toto uko juu sana
  • Lucy Johnny   Ashley Toto Uko poa tu sana dada uko
  • Bridgit Tommy   Ashley Toto hakuna mwengine kwetu ila tu weweee
  • Abou Hermis Twaleb  WOTE NI WASANII WAKUBWA SANA NA NIMEWAKUBALI…….WOTE WAKO JUU NA MTAWAONA KATIKA MOVIE ITAKAYOFUATA BAADA YA MOVIE YA AFRICAN BOY KUTOKA TWALEB ENTERTAINMENT Film Production……..TEGA SIKIO NA UFATILIE ILI UJUWE NANI ATAKAE KUPA JIBU PINDI WAKAPAPOCHEZA MOVIE PAMOJA…..CHINI YA UONGOZI WA TWALEB ENTERTAINMENT……
  • Abou Hermis Twaleb Wote ni wakali…
  • Vaida Duku Too bad compared MOYO WANGU AND PASSPORT LOVE HAHAAHAHA; i dont care wether Your name is DEVOTHA OR BEACAUSE I KNOW YOU Lakini anzia stori yenyewe ya passport Love huwezi kuifananisha na stori ya MOYO WANGU, hata mara miaa, so STORI NZURI NA UMEITENDEA HAKI GIRL, but we need full movie please…….
  • Joe Peters PASSPORT LOVE SUPER ACTRESS
  • Shabani Chande please all read my status on my wall about how to be good actor or actress and you will learn something before jump to conlusion:::.. DEVOTHA YOUR IMPRESING ME WITH YOUR ACTING,YOU HAVE ENOUGH ENERGY; STRONG VOICE ; GOOD USE OF GASTURES ,AND SO MANY THING, but you still have long journey to go ….. so dont feel your a SUPERSTAR:
  • Salama Melanie Devotha Alfred ume look nice mi wifi love you ♥♥♥
  •  Wenyewe walipoojiwa na www.umojaradio.listen2myradio.com iliyopo Holand  kwa kipindi tofauti walisema , kupambanishwa sio kitu kibaya ila wanafikiri ni mapema sana kwani wao wote bado ni wasanii wachanga na hata mashabiki wao badio hawajaona kazi zao nyingi, hivyo ni vizuri endapo waandishi hao waliowapambanisha kama wangesubiri, ila hawana kipingamizi chochote .
    je wewe shabiki wa swahili movies unayapi ya kusema , pitia movie zao you tube kupitia link hapo juu na utupe maoni yako.
    Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
    pia follow us instagram  swahilimovies