Waigizaji ashley Toto na Senny Chada watembelea ofisi za Marehemu Steven Kanumba Tanzania.

Waigizaji wenye makazi yao ulaya ambao wamekutana tanzania  ambako ashley Toto mkenya alikwenda kwenye ziara  yake  ya kutangaza kazi zao mpya za Devotha Media zinazokuja  na Sanura Jafari aliepo huko kwa  ajili ya mapumziko  na kusalimia familia yake , baada ya kukutana wote waliamua kutembelea ofisi hizo zilipozo sinza.kuonyesha heshima yao na kutambua mchango wa Marehemu steven Kanumba katika tasnia ya filamu Tanzania hasa leo ikiwa ni siku ambayo  kitabu cha Marehemu  kanumba kinazinduliwa  Land mark Hotel Ubungo .

10917779_771365412952576_2418724171458259030_o
Ashley Toto

 

10904438_771365609619223_6257836415271136433_o
Sanura Jafari

 

10915046_771365376285913_2948593347501597366_o
sanura na ashley Toto

kwa walio DAR wanakaribishwa  kufika katika uzinduzi wa ktabu cha kaunumba ambacho  ni leo jioni  kwa maelezo zaidi angalia picha hapo chini.

10904401_958511490845360_5623410393598501313_o

hii ndio Tamthilia  ambayo kwa sasa ashley  Toto anaifanya

https://www.youtube.com/watch?v=vaDxb11G_lo

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!

 

 

 

 

Hii ndio keki aliyopewa Muigizaji Sanura na Mtangazaji Maimartha Jesse. Tanzania

Akiongea kutokea Tanzania , muigizaji Sanura Jaffari au Senny Chada kama wengi wanavyomfahamu,mwenye makazi yake nchini Denmark , lakini amekwenda nchini Tanzania kwa ajili ya mapumziko na kutembelea familia yake ,

10898093_1534881696790628_672166505004102673_n

Hii ni moja ya keki aliyopewa SANURA Ilipopambwa na makeup juu :

Alisema kuwa amefurahishwa sana na kitendo ambacho rafiki yake mkubwa na wa mda mrefu alichomfanyia katika siku yake ya kuzaliwa , kwani hakutegemea kama angepokea keki ya aina yake ,katika siku yake hiyo ya kuzaliwa tarehe  31 December

1618148_1536089396669858_3426647420162966335_o
Sanura akiwa na Maimartha Jesse

Kwa kweli namshukuru sana rafiki yangu kipenzi ambaye pia ni mtangazaji Maarufu Tanzania , Maimartha wa Jesse kwa kunipa hii keki ambayo kama mnavyoiona ina makeup juu yake , hahahaha  nashukuru sana na Mungu aendeleze urafiki wetu na upendo daima  alimaliza muigizaji huyo ambaye mpaka sasa anangaa kwenye filamu yake moja aliyocheza ya NIMUAMINI NANI.

10841995_1534879626790835_367752554246342232_o

1908488_1534879340124197_5645727565582347798_n

Sanura akiselebuka na Familia yake baada ya kukata keki

1912450_1534879270124204_567089449834022634_n 10881555_1534879460124185_74795953984100881_n

Sanura akikata keki

10885031_1534879706790827_275055769580308586_n 10869603_1534879550124176_5607541959109718414_o f10896164_1534879403457524_8091262262625268002_o

Sanura akifurahia na familia yake

 

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!