Dudubaya adaiwa kumkata mama yake sikio Adai anamroga ndio maana hafanyi vizuri sokoni!

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Tanzania – Dudubaya adaiwa kumkata mama yake sikio na kutokomea

– Adai anamroga ndio maana hafanyi vizuri sokoni!
– Ni aliyewahi kuimba “Mwanangu huna nidhamu..  Amefanya unyama huo na kutokomea kusiko julikana, kampiga kisu cha sikio mamake na kuliacha sikio linaning’inia kisa eti anamroga ndio maana nyimbo hazivumi. haya ni machache tuliyoyapata ,tutawaletea habari zaidi tutakapojua kinachoendelea .

10011486_690800800983917_4191663368989813674_n

source : clouds fm

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more