Solomon Mukubwa alifanya kazi nyingi kwa mda wake ndogo aliokua Danmark pamoja na kundi mbali mbali. Vyote alivyo vifanya vilikua ni bora. Salomon Mukubwa alipiga CONCERT na mamia ya watu wali tizaka na kukufurai sana.
Pia Concert yake ilichukuliwa na kampuni iliyojichukua jina kubwa barani ulaya kwa filamu zake za kiswahili ya V.A.D FILM PRODUCTION akiwa chini ya usimamizi wa Director JAY na mda si murefu muta pata DVD zake. Akuishia kwa CONCERT tu bali alifanyikiwa kutumika pia NYIMBO za DVD yake SIFA ZA MUNGU.
DVD iyo ina nyimbo 7:
- – Sema neno mmoja
- – Nimechoka
- – Nimewasamehe
- – Habari njema raha yangu
- – Umenisukuma sana
- – Sijafika
- – Sifa za Mungu.
- Basi tunamtakia kazi njema nchini Kenya na Africa mashariki. Ukiitaji CD,VCD ao DVD SIFA ZA MUNGU piga simu +254722952711, +254733767972,+254726158434.
Solomon Mukubwa akiwa na President wa VAD film Production
solomon mukubwa akiwa katika ibada
Solomon akiwa Location kwenye shooting ya nyimbo yake nchini Denmark
Solomon akiwa na Muigizaji Claurice SAFI kushoto
President Safari Lukeka kushoto , Solomon Mukubwa na Director wa VAD JAY
Hii ndio kava ya albamu ya Solomon Mkubwa
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT : vad.bloggersdelight.d
Tupe maoni yako hapo Chini..!!