Muimbaji mkubwa wa injili wa Afrika Mashariki Mchungaji Solomon Mukubwa atatua nchini Denmark mwishoni wa mwezi huu tarehe 23 . natarehe 27 ni ibada ya kwanza na yeye kwenye kanisa la Holy International Christian Ministries Denmark (HICMDK).
kwa ajili ya Ibada pamoja na Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu huku mamia ya watu wakialikwa , Akiandika haya kwa furaha kubwa ya kumpokea Muimbaji huyo Mchungaji Kapinga Dieudonné Mushagalusa aliandika hayo hapo chini .
Glory to God, HICM dreams now become a reality. Solomon comes to us this week.
“Pastor Solomon Siaka Mukubwa in away to Denmark”.
Our first service with him Will be Sunday 27th, July 2014 from 13:30 to 15:30.
This will be a free sunday for all. Come and test this supernatural anointing, and you will no longer remain the same.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT : Here