Shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu nchini Tanzania , Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni huko jijini Dar Tanzania.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
Na Laulant Samata
Kamera za kisasa za gazeti la Maskani Bongo zilizokuwa zimesambaa ukimbi mzima kwenye party ya Bongo movie zilifanikiwa kunasa tukio moja la aibu toka kwa mastaa Irene Uwoya na Baba Haji wakiwa wamegandana kama ruba huku wakipapasana sehemu nyeti.
credit:Lindi yetu blog
Subscribe youtube DEVOTHA MEDIA
To change your privacy setting, e.g. granting or withdrawing consent, click here:
Settings