Fred Niyo’o ni Independent Film Maker mwenye asili ya Burundi mwenye makazi yake nchini Australia , Mama Mkaidi ni Filamu yake ya Pili alioitengeneza kwa kutumia lugha ya kiswahili , filamu hii yenye plot nzito ndio imemfanya aweze kujinyakulia Tuzo, huko nchini Australia , Angalia picha , trailer na interview aliofanya katika utoaji wa tuzo hizo uweze kujua mengi zaidi kuusu Fred.
Fred baada ya baada ya kupokea Tuzo za AAMMA AWARD
Bonyeza hapa kusikiliza interview ya Fred na idhaa ya kiswahili ya Austalia
http://www.sbs.com.au/yourlanguage/swahili/highlight/page/id/359443/t/AAMMA-awards-Fred-Niyo-o-ATM-Jeff/in/language
Hii ndio Trailerya filamu hiyo ya MAMA MKAIDI
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT : Here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!