Mr nice apata ajari mbaya na kupoteza rafiki zake watatu hapohapo

3

Mr nice kabla ya kupata ajari

 Ni uzuni sana ilikuwa ni tarehe 12/april /2014 msanii   wa   muziki kutoka bongo alikutwa na ajali mbaya yagari iliyogangana na bajaji  na kupelekea rafiki watatu aliokuwa nao kufariki hapo hapo na yeye Mr nice kuwa katika hali mbaya sana hospitali  swahili movies inamuombea apone na apate nafuu haraka .

ilikuwa ni tarehe 12/april /2014 msani wamuziki kutoka bongo alikutwa na ajali gari na bajaji vimegongana mwenyewe ndie yupo hayi wenzie wamefariki hivi ndio alivyo umia muombeye kwa Mungu – See more at: http://greatlakesmix.com/news/2014/04/15/picha-ya-mr-nice-baada-ya-kupatwa-na-ajali/#sthash.q9LnCpYL.dpuf

10259704_455207954613041_1040100589612372457_nMr nice baada ya kupata ajari mbaya

Lakini miezi michache iliyopita alikuwa Nchini Denmark na kundi la Film la VAD film productiona na kufanikiwa kufanya filamu inayoitwa NIMWAMINI NANI hivyo uongozi na wasanii wote wa VAD wanatoa pole sana kwa MR NICE pamoja na kumuombea kwa Mungu apone haraka na kupata afya njema.
1481289_1401553616755280_130539982_n                                 Mr nice akiwa na muigizaji vumo vane wakati wa shooting Denmark
2                                        Mr nice akiwa shhoting na watu wa vad
https://www.youtube.com/watch?v=5SxjC3FFopw#t=44
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
ilikuwa ni tarehe 12/april /2014 msani wamuziki kutoka bongo alikutwa na ajali gari na bajaji vimegongana mwenyewe ndie yupo hayi wenzie wamefariki hivi ndio alivyo umia muombeye kwa Mungu – See more at: http://greatlakesmix.com/news/2014/04/15/picha-ya-mr-nice-baada-ya-kupatwa-na-ajali/#sthash.q9LnCpYL.dpuf
ilikuwa ni tarehe 12/april /2014 msani wamuziki kutoka bongo alikutwa na ajali gari na bajaji vimegongana mwenyewe ndie yupo hayi wenzie wamefariki hivi ndio alivyo umia muombeye kwa Mungu – See more at: http://greatlakesmix.com/news/2014/04/15/picha-ya-mr-nice-baada-ya-kupatwa-na-ajali/#sthash.q9LnCpYL.dpuf
ilikuwa ni tarehe 12/april /2014 msani wamuziki kutoka bongo alikutwa na ajali gari na bajaji vimegongana mwenyewe ndie yupo hayi wenzie wamefariki hivi ndio alivyo umia muombeye kwa Mungu – See more at: http://greatlakesmix.com/news/2014/04/15/picha-ya-mr-nice-baada-ya-kupatwa-na-ajali/#sthash.q9LnCpYL.dpuf