Baada ya mda mrefu kampuni inayofanya filmau za kiswahili V.A.D FILM PRODUCTION Iliyopo Denmark kutoa matangazo na trela ya movie zao mbili , jana imeingiza rasmi sokoni movie hizo mbili ambazo moja wamefanya na mastar wao wanaongara Denmark na dunia nzima , kama , Tatu Daniel. Zawadi Justine , Frank Lubeba , Papi Gabril , Selembe Toko,Rizo Babingwa ,kay Msabaha , Jay Msabaha, na wengine wengi
Nyingine waliofanya na star kutoka Tanzania Lucy Komba , TANZANIA to DENMARK part 1& 2 na The Mistreated Girl Part na 2 sasa zipo madukani Tanzania kote na Denmark pia zinapatikana kwenye duka la V.A.D FILM PRODUCTION LA ONLINE .
Movie hiyo ya the Mistreated Girl ni movie ya maisha ya Vituko na mshangao kuelimisha na Tamaa na movie TZ 2 Denmark ni movie mchanganiko Tanzania adi Danmark tena kuna vichekesho adi mwisho na mafunzo kwa watu na vituko vingi sana chukua na upate nakala yako.. kwa adress hapo chini
facebook: vad production au wasiliana nasi kwenda e-mail: vad.production@hotmail.dk
au piga telephone: +4571353932 ao +4571621012
au kununua online http://www.vadfilmproduction.dk/side.asp?Id=120318
behind the scene za Mistreated Girl
ZIFUATAZO NI PICHA ZA BEHIND THE SCENE ZA TANZANIA TO DENMARK
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more