kumekucha V.A.D Waja na sehemu ya nne Episode ya nne ya Tamthilia ya MAWENGE ; WASANII WAPYA NDANI

Wale wakali wa filamu na Tamthilia za kiswahili kutoka nchini Denmark waja sasa na sehemu ya nne ya tamthilia yao inayoendelea youtube ya MAWENGE tarehe 06.04.2019 kama kawaida imejaa wasanii maarufu löakini pia sura mpya yaani waSANII WAPYA kabisa tegemea kuwaona toka tamthilia ya mawenge.
Swali tunayo kwa nini roho za YUDA na KAINI uendelea ku tawala na kuongezeka jamani? watu tujifunze kuwa na roho za uruma na tusijipende wenyewe bonyeza link chini kucheki tamthilia hio ya mawenge au waeza watafuta youtube kwa jina la kampuni yao VAD FILM PRODUCTION

walie cheza ni wasani kutoka inchini Danmark kundi la V.A.D the voice of africa in Denmark
Ndani ya EPISOD iyo utakutana naye Lucy Komba, Selembe Toko, Safi Happy, Kay Msabaha, Safari Lukeka, Tatu Musa, Agnes Sakina na wengine wengi



/54279298_435392997202701_9145456304993599488_n.png” alt=”” width=”960″ height=”540″ class=”alignnone size-full wp-image-4779″ />

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX




https://www.youtube.com/watch?v=piL6sseKnBU&t=29s
https://www.youtube.com/watch?v=PfC3NiurMEQ&t=35s

https://www.youtube.com/watch?v=cVF-MJA2LhI&t=24s